MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amerejea nyumbani kisiwani Zanzibar akitokea jijini Dar es Salaam alikokuwepo kwa shughuli maalum za kichama tangu tarehe 19 Juni.

Akiwa jijini Dar es Salaam, Mjumbe huyo wa Kamati Kuu cha ACT Wazalendo alihudhuria kikao cha kamati kuu, alifanya ziara ya kuwajulia hali wagonjwa na wananchi wenye matatizo mbali mbali pamoja na kuzungumza na wanachama na viongozi wa Chama hicho ngazi ya Taifa, Majimbo na Kata ya Mbagala Kuu katika ukumbi wa Masai Camp uliopo Mbagala.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...