*Tumia Fursa ya Kubashiri na Meridianbet Sasa!
BAADA ya timu 24 kuoneshana uwezo kwenye hatua ya makundi, sasa ni timu 16 tu zitakazoendelea na mashindano ya Euro 2020. Mtanange unaanza upya, wikiendi hii mambo yapo hivi.

Ligi ya Norway itaendelea ambapo Lillestrom watachuana na Rosenborg, Meridianbet tunapatia Odds ya 2.15 kwa Rosenborg kwenye mtanange huu. Changamkia fursa hii.


Wales kumenyana na Denmark katika mchezo wa kwanza wa 16 bora ya Euro 2020. Itakumbukwa kuwa Wales walifika hatua ya nusu fainali msimu uliopita na wamemaliza katika nafasi ya 2 kwenye msimamo wa Kundi A nyuma ya Italia msimu huu. Denmark wanamkosa Christian Eriksen lakini wameonesha namna gani sio timu ya kuibeza. Ukipata Meridianbet, utakuta Odds ya 1.95 kwa Denmark.


Jumapili mambo yatakuwa moto moto! Ubelgiji uso kwa uso na bingwa mtetezi wa Euro, Ureno. Hapa CR7 na Bruno Fernandez, kule Romelu Lukaku na Kevin De Bryune, hapatatosha! Unaweza kutengeneza faida kwenye mchezo huu kwa kuifuata Odds ya 2.55 kwa Ubelgiji ukiwa na Meridianbet.


Croatia kupambana na Hispania kwenye mchezo utakaochezwa Jumatatu. Hispania wameonesha kiwango cha chini kwenye michezo 2 ya mwanzo kunako hatua ya makundi lakini walimaliza hatua hiyo kwa ushindi wa 5-0. Luka Modric ameendelea kuwa nahodha hodari wa kikosi cha Croatia, Meridianbet inakupa Odds ya 1.70 kwa Hispania.

Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa! 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...