RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitabasamu wakati akikabidhiwa mkoba maalum ukiwa na ujumbe wa maneno ”Wanawake Waha Haki ya Kuongoza” na Mwakilishi Mkaazi wa UN Women Nchini Tanzania Bi.Hodan Addou na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, baada ya kumaliza mazungumzo na mgeni wake yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UN Women Tanzania
Bi.Hodan Addou, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na
kujitambulisha, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa UN Women Nchini Tanzania Bi.
Hodan Addou, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na
kujitambulisha, mazungumzo hayo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi Mkaazi wa UN Women Nchini Tanzania
Bi.Hodan Addou, wakati akimkabidhiwa mkoba ukiwa na ujumbe wa maneno
“Wanawake Wana Haki ya Kuongoza” , baada ya kumaliza mazungumzo yao
yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiagana na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UN Women Nchini
Tanzania Bi.Hodan Addou, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Home
HABARI
ZANZIBAR
RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MWAKILISHI MKAAZI WA UN WOMEN NCHINI TANZANIA IKULU ZANZIBAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...