Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizindua ripoti ya uchambuzi wa bajeti za lishe kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni, Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Wabunge Vinara wa Lishe, salama wa chakula na haki za Watoto Bungeni Mhe. Dustan Kitandura, Mtaalam mwandamizi wa lishe kutoka Mradi wa ASPIRES, Tumaini Charles na kulia kwake ni Mkurungenzi Mtendaji PANITA, Tumaini Mikindo.



Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo kwa Wabunge Vinara wa lishe, Usalama wa chakula na haki za Watoto Bungeni alipozungumza nao katika mkutano kuhusu masuala ya lishe uliofanyika katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni, Jijini Dodoma mkutano ambao ulizindua ripoti ya uchambuzi wa bajeti za lishe kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika.



Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akionyesha ripoti ya uchambuzi wa bajeti za lishe kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika aliyoizindua katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni, Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Wabunge Vinara wa lishe, usalama wa chakula na haki za Watoto Bungeni Mhe. Dustan Kitandura, Mtaalam mwandamizi wa lishe kutoka Mradi wa ASPIRES, Tumaini Charles na kulia kwake ni Mkurungenzi Mtendaji PANITA, Tumaini Mikindo.



Kikundi cha Wabunge Vinara wa Lishe, Usalama wa Chakula na Haki za Watoto Bungeni wakimsikiliza Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai alipozungumza nao katika mkutano kuhusu masuala ya lishe uliofanyika katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni, Jijini Dodoma mkutano ambao ulizindua ripoti ya uchambuzi wa bajeti za lishe kwa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika iliyoandaliwa na Mradi wa lishe wa ASPIRES ulio chini ya Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Marekani (USAID).



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama, akizungumza na Wabunge Vinara wa Lishe, Usalama wa Chakula na Haki za Watoto Bungeni katika mkutano wa masuala ya lishe uliofanyika katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni, Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...