Katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani 2021, yaliyofanyika mwishoni mwa wiki, Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick nchini, walishiriki kusafisha na kupanda miti katika maeneo ya kuzunguka migodi na kufanya uhamasishaji kwa jamii kutunza mazingira.

Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick wa North Mara wakishiriki zoezi la kupanda miti katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani

Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick wa North Mara wakishiriki zoezi la kupanda miti katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani

Wafanyakazi wa Barrick-North Mara wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza zoezi la kusafisha mazingira na kupanda miti katika maeneo ya mgodi kuadhimisha siku ya Mazingira Duniani mwishoni mwa wiki.

Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick wa North Mara wakishiriki zoezi la kupanda miti katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani

Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick wa North Mara wakishiriki zoezi la kupanda miti katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani

Wafanyakazi wa Barrick-North Mara wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza zoezi la kusafisha mazingira na kupanda miti katika maeneo ya mgodi kuadhimisha siku ya Mazingira Duniani mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...