Mwenge wa uhuru kwa sasa mbio zake zimefika katika mkoa wa Kilimanjaro ambapo unapita katika wilaya Sita kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kubwa zaidi na la kufurahisha mbali na kupokea taarifa za miradi mbalimbali ya Mwenge pia wakimbiza mwenge wamekuwa wakifanya ukaguzi kila eneo la mradi kama wanavyoonekana  wakikagua moja ya matenki ya maji ya ya Mradi wa maji wa Kasapo na Makanya unaohusu  ukarabati pamoja na upanuzi wa Miundombinu.

Mradi huu  unatekelezwa mwa fedha za mfuko wa maji wa Taifa (NWF) kwa  gharama ya kiasi cha Mil  747.9





 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...