Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Tatu ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, jijini Dodoma, leo, kabla ya kuizindua Bodi hiyo. Ameitaka Polisi kudhibiti Utoaji na ukaguzi Nchini na pia ishirikiani na sekta binafsi za ulinzi ili kuweza kuimarisha ulinzi na usalama wa Nchi. Wapili kulia ni Kamishina wa Polisi wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu, CP Benedict Wakulyamba.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akimsikiliza Kamishina wa Polisi wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu, CP Benedict Wakulyamba, akizungumza katika Kikao cha Wajumbe wa Bodi ya Tatu ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, jijini Dodoma, leo, kabla ya Bodi hiyo haijazinduliwa. Waziri huyo ameitaka Polisi kudhibiti Utoaji na ukaguzi Nchini na pia ishirikiani na sekta binafsi za ulinzi ili kuweza kuimarisha ulinzi na usalama wa Nchi.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Tatu ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, Toyi Ruvumbangu, jijini Dodoma, leo, kabla ya Waziri huyo hajaizindua Bodi hiyo. Waziri huyo ameitaka Polisi kudhibiti Utoaji na ukaguzi Nchini na pia ishirikiani na sekta binafsi za ulinzi ili kuweza kuimarisha ulinzi na usalama wa Nchi.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akimsikiliza Katibu wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), John Massawe, jijini Dodoma, leo, kabla ya Waziri huyo hajaizindua Bodi hiyo. Waziri huyo ameitaka Polisi kudhibiti Utoaji na ukaguzi Nchini na pia ishirikiani na sekta binafsi za ulinzi ili kuweza kuimarisha ulinzi na usalama wa Nchi. Katikati ni Kamishina wa Polisi wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu, CP Benedict Wakulyamba.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati aliyekaa) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Tatu ya Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, jijini Dodoma, leo, baada ya Waziri huyo kuizindua Bodi hiyo. Ameitaka Polisi kudhibiti Utoaji na ukaguzi Nchini na pia ishirikiani na sekta binafsi za ulinzi ili kuweza kuimarisha ulinzi na usalama wa Nchi. Wapili kushoto waliokaa ni Kamishina wa Polisi wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu, CP Benedict Wakulyamba. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...