
Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Mohammed Khamis Abdulla (kushoto) akiongoza Kikao cha Ushirikiano baina ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi kilichofanyika leo Julai 2, 2021 jijini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza wa Kikao hicho ambaye pia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Bw. Idarous Thabit Faina.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Seushi Mbuli akiwasilisha Muundo wa Ofisi hiyo kwa wajumbe wa Kikao cha Ushirikiano baina ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi kilichofanyika leo Julai 2, 2021 jijini Dodoma.

Afisa Utawala Mwandamizi kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Bw. Issa Mohamed Khamis akiwasilisha Muundo wa Ofisi hiyo kwa wajumbe wa Kikao cha Ushirikiano baina ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi kilichofanyika leo Julai 2, 2021 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Bw. Idarous Thabit Faina ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza akizungumza wakati wa Kikao cha Ushirikiano baina ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi kilichofanyika leo Julai 2, 2021 jijini Dodoma.

Wajumbe wakiwa katika Kikao cha Ushirikiano baina ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi kilichofanyika leo Julai 2, 2021 jijini Dodoma.

Wajumbe wakiwa katika picha ya pamoja na Wenyeviti mara baada ya kumalizika kwa Kikao cha Ushirikiano baina ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi kilichofanyika leo Julai 2, 2021 jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...