Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Dkt. Elirehema Doriye akipokea tuzo ya Mshindi wa kwanza ya Watoa huduma Bora za Bima kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe.Suleiman Hemed Abdulla wakati wa kufunga Maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba jijini Dar es salaam.Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Dkt. Elirehema Doriye katikati akiwa katika picha ya Pamoja wakiwa na tuzo mbalimbali mara baada ya kufika kilele cha maonesho ya 45 ya Biashara Kimataifa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Dkt. Elirehema Doriye katikati akiwa na baadhi ya Watumishi wa Shrika hilo mara baada ya kukabidhiwa tuzo kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla wakati wa kufunga Maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Dkt. Elirehema Doriye akionesha tuzo alizopokea kwa niaba ya Shirika hilo kutoka kwa  Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe.Suleiman Hemed Abdulla wakati wa kufunga Maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...