RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Sauti za Busara Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said na (kulia kwake) Mkurugenzi Mkuu wa Sauti za Busara Zanzibar Bw.Yussuf Mahmoudu, walipofika kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Sauti za Busara Zanzibar ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mhe. Simai Mohammed Said (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na wageni wake Ujumbe wa Uongozi wa Sauti za Busara Zanzibar, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi Mhe. Simai Mohammed Said.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Sauti za Busara Zanzibar ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mhe. Simai Mohammed Said (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na wageni wake Ujumbe wa Uongozi wa Sauti za Busara Zanzibar, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi Mhe. Simai Mohammed Said.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...