Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Barua yenye Ujumbe Maalum kutoka kwa Mfalme wa Umoja wa Falme za kiarabu (U.A.E) Sheikh Mohammed Bin Zayed Al-Nahyan, uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum wa Mfalme huyo Sheikh Shakhboot Bin Nahyan Al-Nahyan ambaye ni Waziri wa Nchi wa Umoja wa Falme za Kiarabu Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Julai 15,2021. PICHA NA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Waziri wa Nchi wa Umoja wa Falme za Kiarabu Sheikh Shakhboot Bin Nahyan Al-Nahyan, Mjumbe Maalum kutoka kwa Mfalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) Sheikh Mohammed Bin Zayed Al-Nahyan, Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Julai 15, 2021.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkaribisha Waziri wa Nchi wa Umoja wa Falme za kiarabu Sheikh Shakhboot Bin Nahyan Al-Nahyan ambaye ni Mjumbe Maalum kutoka kwa Mfalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) Sheikh Mohammed Bin Zayed Al-Nahyan, mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Julai 15,2021.



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...