Mkuu wa Wilaya ya Bunda Joshua Nassari (katikati) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka la Vodacom wilaya Bunda mkoani Mara mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania Plc imezindua duka hilo wilayani Bunda ikiwa ni juhudi za kuhakikisha wanaleta huduma bora karibu na wateja wake.

 
Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Joshua Nassari akipata maelezo kutoka kwa mhudumu wa duka la Vodacom baada ya kuzindua duka la Vodacom wilayani humo mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania Plc ilizindua duka hilo wilayani Bunda ikiwa ni juhudi za kuhakikisha wanaleta huduma bora karibu na wateja wake

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...