Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Biashara na Leseni (BRELA), Godfrey Nyaisa akipata maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na BRELA kutoka Afisa Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma wa BRELA Rhoida Andusamile wakati alipotembelea banda la BRELA katika maonesho ya 45 Biashara Kimataifa yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.



Wananchi wakipata huduma za usajili was leseni za biashara kutoka BRELA ambapo wananchi wamekuwa na mwitikio kutembelea banda hilo na kufanya usajili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...