Na Mwamvua Mwinyi ,Mafia


Chama Cha Mapinduzi -CCM wilaya ya Mafia yapokea taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi kwa kipindi cha Januari hadi Juni 2021.

Akiwasilisha taarifa hiyo, mkuu wa wilaya ,Martin Ntemo ameelezea kwamba sehemu kubwa ya miradi imeweza kupatiwa fedha kama ilivyopangwa na thamani ya fedha hizo kuonekana.

Kamati hiyo ya Siasa imetembelea mradi wa ujenzi wa ghati kwa ajili ya meli kushusha magari  na mizigo mikubwa.

Mradi wa maji, barabara na vikundi vya wajasiriamali.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...