KAMISHNA Jenerali wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee(kulia) leo, jijini Dodoma amekabidhiwa tuzo ya ushindi wa utunzaji wa mazingira iliyotolewa hivi karibuni na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Kushoto ni Kaimu Kamishna wa Magereza - Divisheni ya Urekebu, SACP. Ramadhan Nyamka.
.KAMISHNA Jenerali wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee(katikati) leo akiwa Ofsni kwake jijini Dodoma akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Kamishna wa Magereza - Divisheni ya Urekebu, SACP. Ramadhan Nyamka(kulia) pamoja na Mkuu wa Gereza Kongwa, SP. Tecla Ngilangwa baada ya kumkabidhi tuzo ya ushindi wa utunzaji wa mazingira iliyotolewa hivi karibuni na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. 
 Muonekano wa mandhari ya Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, jijini Dodoma kama inavyoonekana katika picha.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...