Matukio Mbalimbali ya Siku ya Yanga maarufu kama siku ya Wananchi leo Agosti, 29,2021, sherehe ya siku ya Yanga inayoendelea kufanyika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam rangi za njano na Kijani zimetawala katika uwanja huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...