Bashiri na Meridianbet, Uwe Miongoni Mwa Mabingwa!

 

Baada ya michezo ya wiki ya kwanza kunako soka barani Ulaya, wiki ya pili hii hapa! Burudani inaendelea wikiendi hii ndani ya viwanja mbalimbali, Meridianbet mambo yapo hivi;

 

Ijumaa hii tunaanzia kule Ubelgiji. Standard Liege kuchuana na KV Oostende kunako First Division A. Unaweza kuianza wikiendi yako kwa kuifuata Odds ya 2.25 kwa Liege ukiwa na Meridianbet.

 

Jumamosi hii tutakuwa pole Villa Park katika muendelezo wa EPL. Aston Villa kuchuana na Newcastle United. Timu zote mbili zilipoteza michezo yao ya kwanza, hii haimaanishi ni wanyonge. Tembelea Odds ya 1.95 kwa Aston Villa ndani ya Meridianbet.

 

Uhondo wa msimu mpya utanoga zaidi pale Emirate Stadium. Naam! Ni London Derby katika wiki ya pili ndani ya EPL. Arsenal vs Chelsea, vibe la mchezo wa majirani huwa ni burudani ya aina yake. Usipotoshwe na matokeo ya mchezo wa awali, lolote linaweza kutokea kwenye mchezo huu. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.85 kwa Arsenal jumapili hii.

 

Wikiendi itahitimishwa kwa mtanange wa West Ham United vs Leicester City. Miongoni mwa timu ambazo zinatoa upinzani kwa miamba ya EPL, basi timu hizi hazikosekani kwenye nafasi hizo. Dakika 90 kuamua – ni Brendan Rogers au David Moyes kuondoka na pointi muhimu? Ifuate Odds ya 2.55 ndani ya Meridianbet.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...