Wajasiiamali wanaojihusisha na uandaaji na uuzaji wa vitafunwa mbalimbali wakiendelea na biashara yao leo  asubuhi pembeni mwa barabara ya Kilwa kata ya Mkuranga Wilaya  ya Mkuranga  mkoani Pwani,akina mama hao huamka alfajiri kuwahi wateja wao ambao wengi wao ni wafanyakazi wa viwandani,Madereva na Makondakta wa Daladala wakiwemo wapita njia.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...