Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kupitisha hati ya dharura na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nne wa Bunge pamoja na mapendekezo ya ratiba ya Mkutano kikao kilichofanyika leo katika Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Agosti 30, 2021
Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kupitisha hati ya dharura na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nne wa Bunge pamoja na mapendekezo ya ratiba ya Mkutano kikao kilichofanyika leo katika Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Agosti 30, 2021
Wajumbe
wa kamati ya uongozi wakiwa katika kikao cha kamati hiyo kilichopokea
na kupitisha hati ya dharura na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nne wa
Bunge pamoja na mapendekezo ya ratiba ya Mkutano katika kikao
kilichofanyika leo katika Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Agosti 30, 2021.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama akichangia jambo wakati kikao cha kamati ya uongozi kilichopokea na kupitisha hati ya dharura na kujadili Shughuli za Mkutano wa Nne wa Bunge pamoja na mapendekezo ya ratiba ya Mkutano kikao kilichofanyika leo katika Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Agosti 30, 2021, kushoto ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Prof. Aderladus Kilangi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...