DR. Alexander Mushi ambaye ni daktari bingwa wa watoto na muasisi wa 'Gaborone Childrens Care Clinic' amefariki dunia  tarehe 18 Agosti 2021 huko Gaborone, Botswana alikokuwa akiishi kwa takribani miaka 30.

Mwili wa Marehemu Dr.Alexander Mushi umepokelewa jijini Dar es Salaam na taratibu za misa na kuaga mwili zitafanyika nyumbani kwa mtoto wake wa kiume Eng.Samwel Mushi maeneo ya Mbweni  karibu na Bumera Lodge siku ya Jumanne tarehe 24 Agosti 2021 kuanzia saa tatu asubuhi.

Mazishi yatafanyika mkoani Kilimanjaro siku ya Alhamisi tarehe 26 Agosti 2021 nyumbani kwake Machame kuanzia saa saba mchana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...