Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Mwita Waitara akifungua rasmi kongamano la tatu la ustahimilivu wa miundombinu leo jijini Dar es Salaam.

Washiriki wa kongamano la tatu la ustahimilivu wa miundombinu linaloendelea jijini Dar es Salaam wakifuatilia uwasilishwaji wa mada mbalimbali kuhusu changamoto za miundombinu katika kongamano hilo.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Mwita Waitara akisisitiza jambo kwa washiriki wa kongamano la tatu la ustahimilivu wa miundombinu linaloendelea jijini Dar es Salaam.

 

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Mwita Waitara akisisitiza jambo kwa washiriki wa kongamano la tatu la ustahimilivu wa miundombinu linaloendelea jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya B & F Global, Bw. Bruno Kinyaga akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari katika kongamano la tatu la ustahimilivu wa miundombinu linaloendelea jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Ufundi na Uwezeshaji wa TTCL, Bw. Cecil Francis akiwasilisha mada kuhusu shirika hilo la mawasiliano linavyofanya kazi kwa kushirikiana na taasisi nyingine za miundombinu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...