MAONESHO ya pili ya Biashara (China-Africa Economic and Trade Expo) yatafunguliwa kesho jijini Changsha, katika Jimbo la Hunan. Maonesho hayo ni sehemu ya utekelezaji wa maazimio ya Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) ya kukuza mauzo ya  bidhaa za Afrika  katika soko la China.Bidhaa mbalimbali kutoka kwa Makampuni 38 ya Tanzania zitaoneshwa katika Banda la Tanzania katika Maonesho ya China-Africa Economic and Trade Expo yatakayofunguliwa kesho jijini Changsha, Hunan. Bidhaa hizo ni pamoja na korosho, ufuta, kahawa, mvinyo na madini ya Tanzanite.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...