MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mattar Zahor Masoud akiwasilisha Taarifa ya utekeleza mpango kazi ya Mkoa wake kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo pichani) kabla ya kuaza kwa ziara yake katika Mkoa wa Kusini Pemba, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Wilaya ya Chakechake Pemba.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Taarifa ya Utekelezaji wa Kazi ya Mkoa wa Kusini Pemba ikiwasilishwa na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Mattar Zahor Masoud,mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Wilaya ya Chakechake Pemba leo 2-9-2021.(Picha na Ikulu)

BAADHI ya Viongozi wa Chama na Serikali wakifuatilia taarifa ya utekelezaji wa kazi ya Mkoa wa Kusini Pemba, kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Wilaya ya Chakechake Pemba, ikiwasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahor Masoud.(Picha na Ikulu)

BAADHI ya Wakuu wa Taasisi za Serikali wakifuatilia taarifa ya utekeleza mpango kazi ya Mkoa wa Kusini Pemba ikiwasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahor Masoud.(hayupo pichani) mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Wilaya ya Chakechake Pemba, kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(Picha na Ikulu)

BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia taarifa ya utekeleza mpango kazi wa Mkoa wa Kusini Pemba ikiwasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahor Masoud.(hayupo pichani) mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Wilaya ya Chakechake Pemba, kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(Picha na Ikulu)



WAKUU wa Vyombo vya Usalama Kisiwani Pemba wakifuatilia taarifa ya utekeleza mpango kazi ya Mkoa wa Kusini Pemba ikiwasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahor Masoud.(hayupo pichani) mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Wilaya ya Chakechake Pemba, kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...