Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza  na Watendaji wa Serikali wa  Mikoa miwili ya  Kaskazini  na Kusini Pemba  katika mkutano wake wa  majumuisho ya ziara yake katika Mikoa hiyo, mkutano  uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.
Rais wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mattar Zahor Masoud akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuzungumza katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa Miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.






 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...