Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akipokea kitabu kutoka kwa Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Adjellah alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Adjellah alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Adjellah alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Pakistan nchini Tanzania ulioongwa na Balozi wa Pakistan nchini, Mhe. Muhammad Saleem (wapili kulia) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021, Kushoto ni Afisa Itifaki Mwandamizi Ofisi ya Bunge, Zainab Kihange
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Pakistan nchini Tanzania, Mhe. Muhammad Saleem alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Pakistan nchini Tanzania, Mhe. Muhammad Saleem alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiteta jambo na Balozi wa Pakistan nchini Tanzania, Mhe. Muhammad Saleem alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 1, 2021
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...