Baadhi ya wawakilishi kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wakifutilia maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Union for Multiparty Democracy Bw. Moshi Kigandula(hayupo pichani) wakati wa zoezi la uhakiki na ufuatiliaji utekelezaji wa Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  jana jijiji Dar es Salaam.
Kutoka kushoto ni wajumbe wa kikosi kazi cha zoezi la uhakiki wa Vyama vya Siasa toka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Bibi. Chevu Sepeku, Bibi. Edna Assey na Khadija Wanjara wakifanya wakikagua rejista ya wanachama wa Chama cha Union for Multparty Democracy (UMD) wakati wa zoezi la uhakiki na ufuatiliaji utekelezaji wa Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  jana jijiji Dar es Salaam.
Baadhi ya wawakilishi kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wakifutilia maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Union for Multiparty Democracy Bw. Moshi Kigandula(hayupo pichani) wakati wa zoezi la uhakiki na ufuatiliaji utekelezaji wa Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  jana jijiji Dar es Salaam.
Wawakilishi wa Kikosi Kazi cha zoezi la Uhakiki kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD) mara baada ya kukamilisha zoezi la uhakiki na ufuatiliaji utekelezaji wa Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  jana jijiji Dar es Salaam. (Picha na: ORPP).
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...