Na Khadija Seif, Michuzi Tv.

Msanii Maarufu kutoka nchini Nigeria Victor AD,  ambaye anafanya vizuri Na Ep yake ya “Nothing to prove” amemshirikisha LAVA LAVA  katika single yake “JOANA”

JOANA Ni wimbo wa mapenzi unaoteka hisia chanya ambao tayari umeachiwa katika ukanda wa Afrika mashariki mahususi kwa ajili ya mashabiki wanaozungumza kiswahili.

VICTOR AD kwa sasa yuko katika kutembelea vituo mbalimbali vya radio Na tv nchini Nigeria kwa ajili ya kusambaza na kuitangaza EP yake ya NOTHING TO PROVE EP. 

Pia yuko mbioni kuja ukanda Huu wa Afrika mashariki kwa ajili ya kufanya kazi Na wasanii pendwa wa EA Na kutangaza EP yake.


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...