Mwenyekiti wa Wabunge vinara wa masuala ya usalama wa Chakula na Lishe, Mhe. Neema lugangira akiongoza semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021



Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Prof. Martin Kimanya akiwasilisha maada kuhusu usalama wa Chakula nchini Tanzania mbele ya Wabunge vinara wa masuala ya usalama wa Chakula na Lishe wakati wa semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021



Mbunge kinara masuala ya usalama wa Chakula na Lishe, Mhe. Fatma Toufiq akizungumza wakati wa semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021



Mbunge kinara masuala ya usalama wa Chakula na Lishe, Mhe. Jumanne Sagini akizungumza wakati wa semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021



Wabunge vinara masuala ya usalama wa Chakula na Lishe wakiwa katika semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021, Kushoto ni Mbunge wa Mlalo, Mhe. Rashid Shangazi na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Dkt. Alice Kaijage

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...