

Mwenyekiti wa Wabunge vinara wa masuala ya usalama wa Chakula na Lishe, Mhe. Neema lugangira akiongoza semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021

Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Prof. Martin Kimanya akiwasilisha maada kuhusu usalama wa Chakula nchini Tanzania mbele ya Wabunge vinara wa masuala ya usalama wa Chakula na Lishe wakati wa semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021

Mbunge kinara masuala ya usalama wa Chakula na Lishe, Mhe. Fatma Toufiq akizungumza wakati wa semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021

Mbunge kinara masuala ya usalama wa Chakula na Lishe, Mhe. Jumanne Sagini akizungumza wakati wa semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021

Wabunge vinara masuala ya usalama wa Chakula na Lishe wakiwa katika semina kuhusu Sumukuvu na usalama wa Chakula iliyofanyika leo katika ofisi ya Bunge Jijini Dodoma, Septemba 6, 2021, Kushoto ni Mbunge wa Mlalo, Mhe. Rashid Shangazi na Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Dkt. Alice Kaijage
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...