

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Tanzania Red Cross Society ambao walikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma kutoa taarifa mbalimbali wanazozifanya nchini, Septemba 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Rais wa Tanzania Red Cross Society, Mhe. David Kihenzile Tuzo ya Red Cross Society baada ya mazungumzo yake na viongozi wa Chama hicho ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, September 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Tanzania Red Cross Society baada ya kuzungumza nao ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, Septemba 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...