Wakazi wa Temeke wakiwa na Mikokoteni iliyobeba Miwa leo kado ya Barabara ya Kilwa wakiuza miwa hiyo kwa abiria wanaofika kwenye kituo cha Daladala cha Temeke wanaotoka maeno mbalimbali ya jiji la Dar esalaam jambo ambalo ni hatali kwa usalama wa maisha yao.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michzi Tv)



Kazi ikiendelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...