Na Amiri Kilagalila,Njombe
Bi. Anes Haule (45) na mume wake Menluph Ngailo (45) wakazi wa kitongoji cha Itacha kijiji cha Lupande kata ya Mawengi wilayani Ludewa mkoani Njombe wameuawa kwa kukatwa mapanga wakiwa wamelala nyumbani kwao na watu wasiojulikana.
Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amethibitisha
TUTAWALETEA TAARIFA ZAIDI PUNDE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...