RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kufungua rasmi barabara ya Sanyajuu- Elerai KM 32.2 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami umekamilika, barabara hiyo ni sehemu ya barabara ya Bomang’ombe-Sanyajuu- Elerai-Kamwanga yenye urefu wa KM 98.2.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia mara baada ya kukata utepe kuashiria kufungua rasmi barabara ya Sanyajuu- Elerai KM 32.2 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami umekamilika, barabara hiyo ni sehemu ya barabara ya Bomang’ombe-Sanyajuu- Elerai-Kamwanga yenye urefu wa KM 98.2

Muonekano wa barabara ya Sanyajuu- Elerai KM 32.2 ambayo ujenzi wake kwa kiwango cha lami umekamilika na kufunguliwa rasmi.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa (kushoto), akisalimiana na Katibu Mkuu (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Malongo wakati wa ufunguzi wa barabara ya Sanyajuu- Elerai KM 32.2 Mkoani Kilimanjaro.





 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...