Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Zainab Chaula akizungumza na Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara katika semina ya kuwajengea uelewa kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Zainab Chaula (kulia) akiteta na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mary Makondo akizungumza na Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara katika semina ya kuwajengea uelewa kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakurugenzi wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakisikiliza kwa umakini maoni ya Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara katika semina ya kuwajengea uelewa kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Zainab Chaula na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, waliokaa mbele kulia wakifuatilia makala maalumu kuhusu umuhimu na matumizi ya anwani za makazi wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa anwani za makazi katika jiji la Mwanza ambayo ni Halmashauri ya mfano wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Prof. Faustine Kamuzora akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kwa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara, kuhusu utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi iliyofanyika Oktoba 21, 2021 jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...