Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza Mkutano wa wakuliwa wa Korosho kanda ya kati uliofanyika leo katika Chuo cha VETA Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma, Octoba 12, 2021, kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe na Mdau wa Korosho na Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Adam Kimbisa

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe akizungumza na wadau mbalimbali wa korosho (hawapo kwenye picha) wakati wa Mkutano wa wakulima wa korosho kanda ya kati uliofanyika leo katika Chuo cha VETA Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma, Octoba 12, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Remedius Mwema akizungumza na wadau mbalimbali wa korosho (hawapo kwenye picha) wakati wa Mkutano wa wakulima wa korosho kanda ya kati uliofanyika leo katika Chuo cha VETA Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma, Octoba 12, 2021

Wadau mbalimbali wa korosho wakishiriki Mkutano wa wakulima wa korosho kanda ya kati uliofanyika leo katika Chuo cha VETA Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma, Octoba 12, 2021
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...