

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Godwin Mollel (katikati) na Mkurugenzi Mkuu wa MSD Meja. Jenerali. Dkt. Gabriel Sauli Mhidze (kushoto), kwenye kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Oktoba 10, 2021. (Picha. na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...