Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola Tanzania, Kabula Nshimo (mwenye kipaza sauti aliyesimama) akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza Tanzania jijini Dar es Salaam kuwaelezea kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo ulifanyika mwanzoni hii, pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa tofauti ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowashirikisha wateja maeneo mbalimbali na kuendelea msimu wote wa sikukuu mpaka mwisho wa mwaka.

Baadhi ya matukio ya shamrashamra wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’ kwa wafanyakazi wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza Tanzania jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huu ulifanyika mwanzoni hii, pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa tofauti ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kuendelea msimu wote wa sikukuu mpaka mwisho wa mwaka.
Baadhi ya matukio ya shamrashamra wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’ kwa wafanyakazi wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza Tanzania jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huu ulifanyika mwanzoni hii, pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa tofauti ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kuendelea msimu wote wa sikukuu mpaka mwisho wa mwaka.


Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza Tanzania jijini Dar es Salaam (pichani) wakifuatilia uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi huu ulifanyika mwanzoni hii, pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa tofauti ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kuendelea msimu wote wa sikukuu mpaka mwisho wa mwaka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...