Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania UWT ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kusalimiana nae (katikati) Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Taifa Bibi Gaudentia Kabaka na Makamu wake Thwaiba Adington Kisasi.[Picha na Ikulu.] 21/11/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Mwenyekiti wa wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania Taifa (UWT) Bibi Gaudentia Kabaka ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kusalimiana nae akiwa na ujumbe aliofuatana nao (hawapo pichani).[Picha na Ikulu.] 21/11/2021. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa katika picha na Uongozi wa Jumuiya wa Wanawake Tanzania (UWT) baada ya kusalimiana nao walipofika Ikulu leo.[Picha na Ikulu.] 21/11/2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...