Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya UTT AMIS, Martha Mashiku, akitoa mada kwa Wajumbe wa Christian Social Services Commission wakiwa katika semina iliyolenga kutoa elimu juu ya fursa za uwekezaji ambapo wanaweza kuwekeza rasilimali fedha zao kwenye mifuko kwa ajili ya usimamizi wa biashara zao huku hawapotezi thamani ya fedha kutokana na ukuaji wa fedha hizo kwenye mifuko. Semina hiyo ilifanyika jijini Mwanza Novemba, 19, 2021.
Baadhi ya Wajumbe wa Christian Social Services Commission wakiwa katika semina iliyolenga kutoa elimu juu ya fursa za uwekezaji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...