Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima (kushoto) akimkabidhi tuzo Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Plc Alex Bitekeye (kulia) baada ya Vodacom Tanzania Plc kushinda tuzo ya sekta binafsi yenye mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii baada ya kushiriki kwenye wiki ya Azaki ambayo ilifanyika jijini Dodoma hivi karibuni.

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Plc Alex Bitekeye (kushoto) akionyesha tuzo ambayo kampuni ya Vodacom Tanzania Plc ilikabidhiwa baada ya kuibuka kinara katika sekta binafsi kwa mchango wake katika maendeleo ya jamii kwenye wiki ya Azaki ambao ulifanyika jijini Dodoma hivi karibuni. Kulia ni Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...