Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein akiwapa vyeti vya kuwatambua wanachuo wanataaluma waliofanya vizuri wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya  yaliyofanyika Disemba 02,2021 jijini Mbeya.

Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein akiwapa vyeti vya kuwatambua wanachuo wanataaluma waliofanya vizuri wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya  yaliyofanyika Disemba 02,2021 jijini Mbeya.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka akitoa akisoma hotuba yake wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya  Mbeya  yaliyofanyika leo Disemba 02, 2021 jijini Mbeya.




Maaandamano yakiendelea kuelekea kwenye eneo la mahafali.

Sehemu ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe wakishangilia katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya  yaliyofanyika leo Disemba 02,2021 jijini  Mbeya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...