Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein akiwapa vyeti vya kuwatambua wanachuo wanataaluma waliofanya vizuri wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya yaliyofanyika Disemba 02,2021 jijini Mbeya.
Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein akiwapa vyeti vya kuwatambua wanachuo wanataaluma waliofanya vizuri wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya yaliyofanyika Disemba 02,2021 jijini Mbeya.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka akitoa akisoma hotuba yake wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya yaliyofanyika leo Disemba 02, 2021 jijini Mbeya.
Sehemu ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe wakishangilia katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein wakati wa mahafali ya 20 ya Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya yaliyofanyika leo Disemba 02,2021 jijini Mbeya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...