Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa kiwanda cha Kampuni ya East African Starch Limited cha Songwe, ElililiaUsiri wakati alipotembelea kiwanda hicho, Novemba 30, 2021. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya mjini, Dkt. Tulia Ackson. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na viongozi wenigine wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazai wa kiwanda cha Kampuni ya East African Starch Limited cha Songwe wakati alipotembelea kiwanda hicho, Novemba 30, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...