Mkurugenzi Mkaazi USAID Nchini Tanzania Kate Somrongsiri akimkabidhi zawadi maalum Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee , jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui mara walipofika ofisini kwake Mnazimmoja na kufanya mazungumzo kuhusu miradi mbalimbali ya afya .


Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee , jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akimkabidhi mlango na karafuu ikiwa ni zawadi maalum kutoka kwa Wizara ya Afya mara walipofika Ofisini na kufanya mazungumzo kuhusu miradi mbalimbali ya afya .










Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee , jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Mkurugenzi Mkaazi USAID Nchini Tanzania Kate Somrongsiri na Ujumbe wake mara walipofika Ofisini kwake na kufanya mazungumzo kuhusu miradi mbalimbali ya afya .

PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...