Sehemu ya wajumbe na wanachama wa NBC SACCOS LTD wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Mkutano wao Mkuu wa Mwaka uliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa NSSF, Ilala jijini Dar es salaam. Katika Mkutano huo, ajenda kadhaa zilijadiliwa na kupitishwa ikiwemo ya Wastaafu kupewa nafuu ya riba kwenye mikopo ya chini ya asilimia moja.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...