Msaidizi wa Rais (Mnikulu) Bw. Said Ali Juma akikabidhi Mbuzi, Mafuta ya kupikia pamoja na Mchele kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwenye Kituo cha Nyumba ya Amani na Furaha (Missionaries of Charity Mother Teresa Children’s Home) kilichopo Mburahati Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya leo tarehe 23 Desemba, 2021. 


Msaidizi wa Rais (Mnikulu) Bw. Said Ali Juma akikabidhi Maziwa, sabuni pamoja na pampers za watoto kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa Mlezi wa Kituo cha Kulea Watoto wanaoishi katika Mazingira Hatarishi Sister Stella Selugenge leo tarehe 23 Desemba, 2021. PICHA NA IKULU


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...