Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu uendeshaji wa Vipindi mbalimbali vya Redio kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Redio TBC Redio Bi Aisha Dachi wakati alipotembelea Kituo cha Redio cha TBC Taifa kilichopo Barabara ya Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Desemba 2021. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayoub Rioba.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu maendeleo ya uendeshaji wa Redio ya TBC Taifa kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji TBC Dkt. Ayoub Rioba wakati alipotembelea katika Kituo hicho kilichopo Barabara ya Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Desemba 2021. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Redio TBC Redio Bi Aisha Dachi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...