Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia ( wapili kushoto )  akichangia mada kwenye kongamano la siku ya mtoto njiti lililozungumzia marekebisho ya muda wa  nyongeza  wa likizo kwa wazazi ili kupata fursa ya kulea mtoto aliyezaliwa njiti. Kampuni hiyo kwa sasa inatoa likizo ya uzazi ya miezi minne kwa wazazi wote wawili pindi wanapopata mtoto.Wengine kushoto ni msimamizi wa wodi ya watoto wanaopata huduma ya Kangaruu Hospitali ya Muhimbili ,  Sista. Cleopatra Mtei,  mama shuhuda  aliyejifungua mtoto njiti, Nikita Mandan na kulia ni muongoza mada,  Innocent Mungy.

 


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...