Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya kati,  Joseph Sayi (kushoto) na Meneja Mkakati wa Biashara wa kanda hiyo, Baraka Siwa (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washindi wa wiki ya pili wa promosheni ya "Show Love,Tule Shangwe " jumla ya washindi 16 wamejishindia Tv za kisasa  (smart TV) sita, simu janja (smartphone) sita na washindi wanne wamejishindia pesa taslimu. Ili ushinde zawadi kutoka Vodacom unatakiwa kununua bando au kutumia huduma ya M-Pesa kwa umpendae kwa kupiga *149*01#.
Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya kati,  Joseph Sayi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa wiki ya pili wa promosheni ya "Show Love,Tule Shangwe " jumla ya washindi 16 mkoani Dodoma ambao wamejishindia Tv za kisasa  (smart TV) sita, simu janja (smartphone) sita na washindi wanne wamejishindia pesa taslimu. Ili ushinde zawadi kutoka Vodacom unatakiwa kununua bando au kutumia huduma ya M-Pesa kwa umpendae kwa kupiga *149*01#. Hafla hiyo imefanyika mjini Dodoma. 


 

Baadhi ya washindi wa promosheni ya Vodacom "Show Love, Tule Shangwe" wakiwa na zawadi zao mara baada ya kukabidhiwa katika hafla iliyofanyika jana jijini Dodoma.  Jumla ya washindi 16 wamejishindia zawadi mbalimbali ikiwamo TV za kisasa  (smart tv) sita,  simu janja  (smartphone ) sita na washindi wanne wamejishindia pesa taslimu.  Ili ushinde zawadi kutoka Vodacom unatakiwa kununua bando au kutumia huduma ya M-Pesa kwa umpendae kwa kupiga * 149*01#

 



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...