Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mhe, Omar Said Shaaban, akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud, wakiachia Majongoo katika Maji kama ishara ya Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji Majongoo, hafla iliyofanyika Mto wa Pwani Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, iKiwa ni Miongoni mwa Shamra shamra ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mhe, Omar Said Shaaban,akizungumza katika Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji Majongoo, hafla iliyofanyika Mto wa Pwani Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, iKiwa ni Miongoni mwa Shamra shamra ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mhe, Omar Said Shaaban (kavaa Miwani) akiwakabidhi Boya Wafugaji wa Majongoo ,kama ishara ya Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji Majongoo, hafla iliyofanyika Mto wa Pwani Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, iKiwa ni Miongoni mwa Shamra shamra ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Mhe, Omar Said Shaaban Kavaa (Shati Jeupe) na Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Ayoub Mohamed Mahmoud , Wakiwa katika Boti kuelekea katika Uzinduzi wa Mradi wa Ufugaji Majongoo, hafla iliyofanyika Mto wa Pwani Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, iKiwa ni Miongoni mwa Shamra shamra ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
PICHA NA MARYAM KIDIKO/ MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...