Mkuu wa kitengo  cha huduma za kidigitali Vodacom Tanzania,  Goodluck Moshi akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni kumi kwa mshindi wa promosheni ya Vodacom Tusua mapene,  Lilian Haule mkazi wa Tegeta jijini Dar es salaam, hafla ya makabidhiano imefanyika viwanja vya Zakhem Mbagala.  Ili ushinde promosheni hii  mteja wa Vodacom anatakiwa kutuma  herufi V kwenda namba 15544 kuanzia gharama ya shilingi mia tatu na kuendelea

Mkuu wa kitengo  cha huduma za kidigitali Vodacom Tanzania, Goodluck Moshi akizungumza na wakazi wa Mbagala waliojitokeza kushuhudia makabidhiano ya zawadi kwa mshindi wa promosheni ya Vodacom Tusua mapene, Lilian Haule ambaye amejishindia shilingi milioni kumi kutoka Vodacom.

Mshindi wa zawadi ya promosheni ya Vodacom Tusua Mapene, Lilian Haule akizungumza na wakazi wa Mbagala waliojitokeza kushuhudia namna alivyokabidhiwa zawadi yake ya shilingi milioni kumi kutoka Vodacom.



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...