Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwasili kwenye eneo la uzinduzi wa barabara ya Ukombozi yenye urefu wa kilomita 1.8 na kupokelewa na mamia ya wanachi, Kibaha mkoani Pwani.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha SWAPO cha Namibia Komredi Sophia Shaningwa (katikati) pamoja na Katibu Mkuu wa chama cha ZANU PF cha Zambia Dkt. Obert Mpofu (kushoto) mara baada ya kuwasili kwenye eneo la uzinduzi wa barabara ya Ukombozi yenye urefu wa kilomita 1.8 na kupokelewa na mamia ya wanachi, Kibaha mkoani Pwani.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwaongoza viongozi wa vyama rafiki vya Ukombozi kukata utepe kama ishara ya kuzindua  barabara ya Ukombozi yenye urefu wa kilomita 1.8 na kupokelewa na mamia ya wanachi, Kibaha mkoani Pwani.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwa na Viongozi wa Vyama rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika kwenye moja ya darasa la Shule ya Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kilichopo Kibaha, mkoani Pwani ambapo kitafunguliwa rasmi tarehe 23 februari 2022 na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...